iqna

IQNA

sheikh hasina
Jamii ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa Bangladesh Sheikh Hasina alitoa wito kwa Umma wa Kiislamu kuwekeza zaidi katika uwanja wa elimu ya sayansi na teknolojia kwa watoto wao ili kurudisha urithi uliopotea.
Habari ID: 3477076    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/31

TEHRAN (IQNA)-Waziri Mkuu wa Bangladesh Sheikh Hasina ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuishinikiza Myanmar isitishe ukandamizaji wa Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
Habari ID: 3471248    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/05